Latest News

Sunday, May 3, 2015

SHETTA "NAMUOMBA MUNGU ANGEMLETA ROSE NDAUKA MAPEMA???"


Wimbo wa Ruby Na Yule unaweka wazi Vitu ambavyo Vitakufanya uamini kuwa Mama Kaylah Mke wa Shetta Hajarudi nyumbani baada ya Kumwacha Shetta kwa Kile alichokidai kuwa Shetta Amechepuka na Mwanadada wa Bongo Movie Rose Ndauka.
Kwenye mahojiano ya Juzi Tarehe 29 aliyofanya na Kipindi cha DUNDO cha MJ FM ambapo Shetta alikuwa anaizungumzia Ngoma ya mtu mwingine Ambayo anaikubali Kuliko ambapo aliuchagua wimbo wa Ruby Uitwao NA YULE kama Hit On Chart yake na Hapo ndipo akabanwa na DjHaazu Akazungumza KUPITIA DUNDO HIT ON CHART.

Kama unaifahamu vizuri ngoma ya Ruby Na Yule Hutapingana na mimi kuwa ni wimbo ambao unaweza Kuudedicate kwa Mpenzi wako Mpyaaaaaaaaa..... Sasa Shetta na Mkewe wamepeana Likizo Kimpango Flani sasa unajiuliza Mpenzi Mpya kwake ni naniiiiiii?

KILICHOTOKEA HEWANI KISIKILIZE HAPA CHINI NA UJIULIZE JE ANAMMAANISHA ROSE NDAUKA ANGELETWA MAPEMA KWAKE??

Credit = HASSBABY

No comments:

Post a Comment