Wasanii wengi wa Bongo wameendelea kuachia video zao mpya, na safari hii ni zamu ya Belle 9 ambaye ametoa video ya wimbo wake aliomshirikisha Joh Makini ‘Vitamin Music’. Video hii imeongozwa director ambaye ni miongoni mwa madirector wapya wanaokuja juu, Khalfani.
No comments:
Post a Comment